UVCCM KUANZISHA LIGI YA VIJANA “UVCCM Premier Cup”
Na Barnabas Kisengi, Dodoma JUMUIYA ya Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) inatarajia kuanzisha Ligi ya Vijana itakayoitwa UVCCM Premier Cupambayo itajumuisha vijana wa Nchi nzima lengo likiwa ni kuibuka na kuviendeleza vipaji vilivyopo katika maeneo hayo. Akizungumza na Waandishi wa Habari leo Agosti 24,2021 jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa, Kenan Kihongosi
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed